Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Qur'ani Nchini Iran
Namba: 266870 Tarehe: 1390/00/00Rejea: IQNAprint

QUR'ANI
Qur'ani Nchini Iran

Mohammad Mahdi
‘Sisitishi masomo ya akademia ninapo hifadhi Qur’ani’ 

 Qur

Ripoti ya Shirika la Habari la Ahlul Bayt(a.s)-ABNA- Ikimnakili Kijana aliyehifadhi Qur’ani Tukufu nchini Iran amesema kuhifadhi Qur’ani hakupaswi kumzuia mwenye kufanya hivyo kuendeleza masomo yake ya kawaida ya ‘kiakademia’ .

Mohammad Mahdi Haghgooyan amesema katika mahojiano na Radio Qur’an mjini Tehran kuwa: "Nilianza kuhifadhi Qur’ani nikiwa na umri wa miaka minane na kuhifadhi Qur’ani kikamilifu nikiwa na umri wa miaka 10. Niliendelea na masomo yangu hadi chuo kikuu na sasa natarajia kuanza masomo ya Shahada ya Uzamili (M.A) katika taaluma ya Qur’ani na Sayansi za Hadithi katika Chuo Kikuu cha Tarbiat Modaress mjini Tehran".

"Kuhifadhi Qur’ani hakujawa kizingiti katika masomo yangu wala shughuli za kimichezo. Nilikuwa nikitumia masaa mawili kwa siku kuhifadhi Qur’ani".

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani