Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Watanzania kutoonyesha ushirikiano kwa mlima kilimanjaro
Namba: 278245 Tarehe: 1390/00/00Rejea: print

Tanzania
Watanzania kutoonyesha ushirikiano kwa mlima kilimanjaro

Mlima wa kwanza kwa urefu Afrika umekosa kura ya kuingizwa katika maajabu saba ya dunia hasa baada ya watanzania kutoonyesha ushirikiano wa kutosha katika kuupigia kura mlima huo wa kitalii. 

 Watanzania kutoonyesha ushirikiano kwa  mlima kilimanjaro
ABNA inatuarifu kuwa: mlima Kilimanjaro ambao ni wa kwanza kwa urefu barani Afrika na wapili kwa urefu Duniani uliopo kaskazini mwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.ambapo mlima huo si tu kwamba ni fahari ya Tanzania bali Afrika kwa ujumla pia ni kivutio na changa moto ya utalii kwa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla umekosa nafasi y akuingizwa kwenye maajabu saba ya dunia baada ya wa Afrika mashariki hasa watanzania kutotuma meseji za kutosha kuupitisha mlima huo katika kinyang'anyiro hicho adhimu.
  msemaji wa taasisi ya New Seven Wonders ambayo ndio mratibu wa kinyang'anyiro hicho cha upigiaji kura wa vivutio 28 vilivyoingia fainali amesema kuwa:upigaji hafifu wa kura kutoka Tanzania ndio sababu kuu ya mlima huo kukosa nafasi hiyo adhimu.
yafaa kuashiria kuwa asilimia 95 ya kura za mlima huo zilitoka Marekani na ulaya hata hivyo hazikutosheleza na kusababisha mlima huo wa kihistoria kukosa nafasi na badala yake kuchukuliwa na Meza(Table Mountain) uliopo katika jiji la Cape Town Afrika kusini.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani