Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Marekani inawapa mafunzo makundi yanayobeba silaha ya Syria
Namba: 283002 Tarehe: 1390/00/00Rejea: print

Marekani inawapa mafunzo makundi yanayobeba silaha ya Syria

Mfanyakazi wa zamani wa Shirika la Upepelezi la Marekani FBI amesema kuwa Marekani na Nato wanayapa mafunzo makundi yanayobeba silaha ya Silaha huko katika mji wa Hakkari kusini mashariki mwa Uturuki. 

 Marekani inawapa mafunzo makundi yanayobeba silaha ya Syria

Mfanyakazi wa zamani wa Shirika la Upepelezi la Marekani FBI amesema kuwa Marekani na Nato wanayapa mafunzo makundi yanayobeba silaha ya Silaha huko katika mji wa Hakkari kusini mashariki mwa Uturuki. Sibel Edmond amesema, amepokea taarifa kutoka Uturuki na katika duru za Marekani zinazoonyesha kuwa utoaji mafunzo kwa makundi ya upinzani ya Syria yanayoongozwa na Kanali Riad al Assad kulianza mwezi Mei mwaka huu. Mfanyakazi huyo wa zamani wa FBI ameongeza kuwa Marekani inahusika katika kuingiza silaha huko Syria kutoka katika kambi ya kijeshi ya Incirlik huko Uturuki ili kuyasaidia makundi hayo yanayobeba silaha huko Syria.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani