Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Libya yatetea safari ya Rais wa Sudan mjini Tripoli
Namba: 289281 Tarehe: 1390/00/00Rejea: print

Libya yatetea safari ya Rais wa Sudan mjini Tripoli

Mkuu wa Baraza la Taifa la mpito nchini Libya ametetea hatua ya nchi hiyo ya kuwa mwenyeji wa Rais Omar Hassan Al-Bashir wa Sudan mjini Tripoli na kusema kuwa Khartoum iliwasaidia kwa hali na mali wanamapinduzi wa Libya hadi walipomuangusha dikteta wa zamani Kanali Muamar Gaddafi. 

 Libya yatetea safari ya Rais wa Sudan mjini Tripoli
Matamshi ya Mustafa Abdul Jalil ni radiamali kwa matamshi yaliyotolewa na mashirika ya kutetea haki za binadamu likiwemo shirika la Human Rights Watch ambalo mbali na kukosoa safari hiyo ya Rais Bashir, pia limewataka viongozi wa Tripoli kumtia mbaroni kiongozi huyo na kumkabidhi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC. Rais wa Sudan anawindwa na mahakama hiyo ya mjini Hague, Uholanzi kwa tuhuma za mauaji ya kimbari na ukiukaji wa haki za binadamu katika jimbo la Darfur. Rais Bashir amekanusha tuhuma hizo za ICC na kuzitaja kuwa za kipuuzi. 

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani