Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Watu wenye Silaha wamechoma moto kituo cha Polisi nchini Nigera
Namba: 295360 Tarehe: 1390/00/00Rejea: print

Watu wenye Silaha wamechoma moto kituo cha Polisi nchini Nigera

Watu wenye Silaha wamechoma moto kituo cha polisi katika mkoa wa Kanu, ambao katika ukubwa ni mkoa wa pili nchi Nigeria na katika tukio hilo mkuu mmoja wa polisi apigwa risasi. 

 Watu wenye Silaha wamechoma moto kituo cha Polisi nchini Nigera
Habari kutoka mkoani kanu zenasema: tukio hilo limetokea katika hali ambayo mkoa mwengine pia limetokea tukio kama hilo mkoani (midokuru) ambako nimakao makuu ya kikundi cha Book Haramu. Kikundi hicho ndicho chenye kutuhumiwa  katika matukio tufauti ya kigaidi nchini humo, ambako matukio kamavile kurusha risasi na kulipua mabomu katika mkoa wa Kanu ambapo watu kiasi cha 105 wameuwawa.
Mkuu mmoja wa polisi amesema; kituo hicho cha polisi kimelipuliwa sehemu ya sharadi mkoani Kanu na kumpiga risasi polisi mmoja, kwamojibu wa wakazi wa sehemu ya tukio ni kwamba baada ya tuko hilo kulitokea na mapigani baina ya wavamizi hao na Jeshi la polisi.  

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani