Usiku wa jana Tume ya uchaguzi wa Misri imeanisha orodha ya wagombea Urais wa nchi hiyo. Orodha ilioanishwa na Tume hiyo inawagombea 13. Miungoni mwa majina yaliofutwa katika orodha hiyo ni la Ahmad Shafiq ambae alikuwa Waziri mkuu wakati wa utawala wa kidikteta wa Mubaraka.
Orodha ifuatayo ni wagombea walioanishwa na tume ya uchaguzi wa Misri katika uchaguzi ujao
1-Muhammad Musa
2- Ahalidi Ally
3-Abdulla Al Ashali
4- Hamdiini sabahiy
5- Ahmad Shafiqi
6- Muhammad alimul awaa
7- Mahmud Hisamu Dini
8-hishamul Bastuwisiy
9- Abdul Muniml Abul Futuh
10- Mmari Musa
11- Hisamu Khairu llah
12- Muhamma Abdul Fatah fawzi
13- Abul Izil Hariri
Uchaguzi wa urais nchini Misri utafanyika tarehe 23 na 24 mwezi wa tano, uchaguzi ambao utakuwa uchaguzi wakwanza wa Urais baada ya kupinduliwa uongozi wa Mubaraka