Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Iran yaionya Marekani kwa kuweka ndege zake katika Umoja wa Falme za Kiarabu
Namba: 312244 Tarehe: 2012/05/01 - 10:03Rejea: print

Iran yaionya Marekani kwa kuweka ndege zake katika Umoja wa Falme za Kiarabu

Waziri wa ulinzi wa Iran amesema hatua ya Marekani ya kuziweka ndege za kivita aina ya stealth katika Umoja wa Falme za Kiarabu itavuruga usalama wa eneo. 

 Iran yaionya Marekani kwa kuweka ndege zake katika Umoja wa Falme za Kiarabu

Kauli ya waziri huyo Jenerali Ahmad Vahidi ndiyo msimamo rasmi wa kwanza juu ya taarifa za vyombo vya habari kuhusu hatua ya Marekani ya kuziweka ndege zake za kivita aina ya F22 kwenye kituo cha anga cha Al Dafra cha Umoja wa Falme za Kiarabu. Ndege za Marekani zimekuwapo kwenye kituo hicho kwa muda mrefu. Waziri wa ulinzi wa Iran amesema kuwekwa ndege hizo ni kampeni ya kisaikolojia. Ameeleza kwamba usalama unapaswa kuhakikishwa na nchi za eneo husika. 
 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani