Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Dmiry Medvedev achukua uwaziri mkuu
Namba: 313863 Tarehe: 2012/05/09 - 11:43Rejea: print

Urusi
Dmiry Medvedev achukua uwaziri mkuu

ABNA inatuarifu kuwa: aliyekuwa rais wa Urusi Bw:Dmiry Medvedev amechaguliwa kuwa waziri mkuu nchi hiyo. 

 Dmiry Medvedev achukua uwaziri mkuu
 Medvedev amechaguliwa kuwa waziri mkuu wa Urusi baada ya aliyekuwa katika nafasi hiyo Bw:
Vladmir Putin kuapishwa kuwa raisi wa taifa hilo kubwa lenye nguvu duniani.

Putin ambaye  alichaguliwa hivi karibuni katika kinyang'anyiro cha kugombe urais
wa Urusi amehaidi kuilinda na kuitete Urusi na watu wake alakuli hali.

Putin ni moja kati ya viongozi wa Urusi wanaopendwa kupita kiasi hii inatokana na kutekeleza ahadi zake na
kuwa imara dhidi ya mahasimu wa Urusi.



 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani