| Namba: 314732 | Tarehe: 2012/05/13 - 03:28 | Rejea: Abna.ir | print |
Mripuko Damaskas kuuwa watu 55 na kujeruhi watu 372 |
Ripoti ya Wizara ya mambo ya ndani ya Syria imeeleza; miripuko miwili imetokea Mji Mkuu wa Syria Damaskas na kusababisha kufariki watu 55 na kujeruhiwa watu 272 na 15 kutofahamika ni nani.
Imeelezwa kuwa mirikupo hiyo ilikuwa mabomu yenye kilogramu 1000, na katika mirikupo hiyo haikuelezwa mhusika miripuko hiyo ni nani.
Mripuko wa pili ulitokea baada ya dakida moja ya mripuko wa kwanza kusini mwa Damaskas, miripuko hiyo imetokea baada ya kuhushudia Nchi hiyo upinzani mkali na watu wanaosaidiwa na Nchi kadhaa za Kiarabu.
Hadi sasa hakujajitokeza kundi lolote lile la kigaidi kuwekea mkazo kuwa wao ndio wahusika wa miripuko hiyo, yasemekana kuwa kunauwezekano wa kuwa watendaji wa mambo hayo ni waasi wa Syria wanaodaiwa kuwa wanamapinduzi.