habari zinatueleza kuwa:Jeshi hilo ambalo lilisafirishwa na helikopta hadi bandari Haradhere, ambayo
inaamini kuwa kitovu cha maharamia ambao huvamia meli zinazo pita katika maeneo
ya bahari karibu na Somalia.
Serikali mpito ya Somalia imethibitisha
mashambulizi hayo kwa kusema "mashambulizi hayo yalitokea kwa ushirikiano wa
pamoja kati ya jeshi la Somalia na jeshi la umoja wa Ulaya."
yafaa kuashiria kuwa:maharamia
waliopo nchini Somalia wamekuwa wakiziteka nyara meli zinazo pita katika maeneo
yaliyopo karibu na bahari ya Somalia, nakusababisha hali ya usalama kuwa tete, jambo ambalo lililopelekea nchi kadhaa duniani kupeleka majeshi yao kwa ajili ya kulinda eneo hilo lenye kupitisha meli muhimu za mizigo.