Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mamia ya wapalestina kupambana na Jeshi la Israeli
Namba: 316330 Tarehe: 2012/05/20 - 05:03Rejea: CRIprint

Mamia ya wapalestina kupambana na Jeshi la Israeli

Siku ya "Nakbah" kuamsha ghadhabu ya wapalestina,kupambana na Jeshi haramu la Israeli, kuonyesha ulimwengu ipo siku utawala haramu wa Israeli utaagushwa tu. 

 Mamia ya wapalestina kupambana na Jeshi la Israeli


Mamia ya wapalestina jana walipambana na wanajeshi wa
Israeli mashariki mwa Jerusalem walipokuwa wakiandamana kuadhimisha siku ya
"Nakbah". Nakbah ni siku ambayo nchi ya Israeli ilianzishwa na
kusababisha wapalestina kupoteza makazi yao. Licha ya usalama kuimarishwa,
maandamano ya mwaka huu hayakuwa na vurugu nyingi ikilinganishwa na miaka ya
nyuma ambapo vurugu zilishuhudiwa karibu na lango la Damascus na makazi ya
Etzion kusini mwa Jerusalem. Hata hivyo hakuna aliyejeruhiwa kwenye makabiliano
hayo.




 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani