Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kongamano la kuchunguza mitazamo ya Imam Khomain na mwamko wa kiislamu nchini Ethiopia
Namba: 319478 Tarehe: 2012/06/02 - 20:44Rejea: abnaprint

Afrika
Kongamano la kuchunguza mitazamo ya Imam Khomain na mwamko wa kiislamu nchini Ethiopia

Kongamano hilo litafanyika nchini humo chini ya uangalizi wa kituo cha tamaduni cha Jamahuri ya kiislamu ya Iran nchini humo. 

 Kongamano la kuchunguza mitazamo ya Imam Khomain na mwamko wa kiislamu nchini Ethiopia

Sambamba na kumbukumbu ya mwaka na tarehe alofariki Imam Khomain (r.a) kongamano la uchunguzi kunako nadharia za Imam Khomain na mwamko wa kiislamu katika ukumbi ulioko katika kituo cha tamaduni cha Irani nchini Ethiopia.
Kongamano hilo litahudhuriwa na walimu wa viuo vikuu, wanafunzi viuo hivyo na maulamaa wanchi hiyo. Watakao hutubu katika kongamano hilo watazungumzia nadharia na mitazamo ya Imam Khomain katika nyanja tofauti ikiwemo muamko wa kiislamu.      


 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani