| Namba: 323173 | Tarehe: 2012/06/19 - 09:11 | Rejea: ABNA.ir | print |
ABNA kusonga mbele katika huduma Sherehe za ufunguzi wa Lugha ya Myanmar katika shirika la habari la ABNA |
Ripoti ya shirika la Ahkul Bayt(as)-ABNA- Katika masiku matukufu ya Mwezi wa Rajab na kupata baraka za Idi ya Mab`ath Lugha ya Myanmar itakuwa tayari na kufunguliwa rasmi siku ya Jumatano.
Sherehe hizo zitafanyika siku ya Jumatano Tarehe 20/6/2012 saa 13:15 kwa majira ya Tehran, na sherehe hizo zitahudhuriwa na kufunguliwa rasmi na Msaidizi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt(as) na Ayatullah Husaini Bushehery.
Pia katika sherehe hizo kutakua na maonyesho ya Vitabu vipya vya Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt(as).
Lugha ya Myanmar ni Lugha ya 18 katika shirika la habari la Ahlul Bayt(as) ABNA.