Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kwanini Misri baada ya kuchaguliwa Mirsiy yazidisha fungamano lake na Iran na kuachana na wamagharibi?
Namba: 325557 Tarehe: 2012/06/29 - 01:50Rejea: print

Afrika
Kwanini Misri baada ya kuchaguliwa Mirsiy yazidisha fungamano lake na Iran na kuachana na wamagharibi?

Gazeti la kizayuni limenukuu barua inayo wahutubia wa Misri na kusema: wale wanaofikiri kuwa kiongozi alie na kauli mbiu ya kiislamu atawatatulia matatizo yao ni wapumbavu 

 Kwanini Misri baada ya kuchaguliwa Mirsiy yazidisha fungamano lake na Iran na kuachana na wamagharibi?
Na haya ni madhumuni ya ujumbe huo: Amani iwe juuyenu nduguzangu wamisri na wale wananchi ambao wanasherehekea ushindi wa Muhammad Mirsi katika viwanja vya tahriri kwa ushindi wa urais nchini Misri, lakini mimi nashangaa saana kwamba kitugani kinachowafurahisha  mpaka mwafurahi kiasi hiki?.
Nadhani munafikiri kwamba kumchagua huyu bwana mwenye mandevu usoni na mwenye kuitakidi kuwa(utawala wa kiislamu ndio utatuzi wa matatizo yenu ) haliyakuwa hamufahamu suala hilo limebeba ujumbe gani kwa wananchi?
 Ivi munafikiria kuna umuhimu saana kujikurubisha na Iran na kujitenga na wamarekani na wagharibi? ivi munaona ni muhimu sana kwenu kujiunga na magaidi(Iran) na kikundi cha Hamasi na vyengine vya kigaidi, ni fikra mbaya munayofikiri, achini fikra hizo  ili kuokoa uchumi wenu usianguke. …
Maneno haya yanaashiria kuawa Israil na wamarekani wanatishika sana kunako fungamano la Misri na Iran kwani wanafahamu malengo ya Iran ni umoja wa kiislamu na na utakapopatikana umoja wa kiislamu hawataweza kuwatisha waislamu. 

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani