Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Misri kuahidiwa Fedha kutoka katika Taasisi ya kimataifa ya Fedha
Namba: 325757 Tarehe: 2012/06/30 - 11:56Rejea: ABNA.irprint

Misri kuahidiwa Fedha kutoka katika Taasisi ya kimataifa ya Fedha

Mkuu wa taasisi ya fedha ya kimataifa Christine Lagarde amemuarifu raisi mpya wa serikali ya kiraia nchini Misri mohamed Morsi kuwa taasisi ya fedha ipo tayari kuisaidia Misri kifedha.
 

 Misri kuahidiwa Fedha kutoka katika Taasisi ya kimataifa ya Fedha

Msemaji wa taasisi ya fedha ya kimataifa alisema hayo kwa niaba ya mkuu huyo na kumpongeza raisi Morsi kwa kuchaguliwa jambo linaloielekeza Misri katika hatua muhimu ya mpito.

Taasisi hiyo ya fedha imejipanga kuiwezesha misri baada ya kujadili hali ya kiuchumi ya nchi hiyo na jitihada za taasisi ya fedha katika kuinua uchumi wa Misri kwa siku zijazo ambapo Lagarde ameahidi kufanya kazi sambamba na mamlaka hiyo mpya iliyowekwa madarakani na raia.

Aidha hii leo wamisri wanatarajia kushuhudia kuapishwa kwa raisi wao mpya mohamed Morsi ambaye ataapishwa katika mahakama ya kikatiba mara baaada ya kuwepo kwa tofauti na jeshi la nchi hiyo kuhusu kuyaachia madaraka kwa utawala wa kiraia.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani