Kofi Annan, ambaye anasimamia mpango wa amani nchi Siria alisema " wakati umefika sasa wa kushirikiana na serikali ya Siria inatakiwa iwajumuishe wapinzani wake katika kuongoza serikali."Mkutano huo ambao uliudhurriwa na viongozi wa Urusi, Marekani, Uingereza China na wajumbe wa jumuiya ya Ulaya walikubaliana kwa pamoja kuwa ufumbuzi wa tatizo la kisiasa nchini Siria ni kuhakikisha ya kuwa serikali ya mpito inaundwa ili kusimamisha machafuko ya nchi hiyo. mpango huu umekuja baada ya mataifa ya Ulaya kushindwa kuivamia Siria kotokana na kwa kuhofia upinzani mkali kutoka kwa Urus,China na Jamhuri ya kiislam ya Iran