| Namba: 327290 | Tarehe: 2012/07/07 - 08:16 | Rejea: abna | print |
Afrika Libya:yapinga uchaguzi wa bunge lake kwa kuhofuia vita ya kikabila |
Amesema mpinzani wa serikali ya Libya(Muhamad Saidi Saitiy): uchaguzi utakao fanyika juma mosi yalio hautakuwa wakisheria na haki kwani haupo katika misingi ya kisheria na uadilifu katika makabila yaliopo nchini humo, na baadhi ya makabila hayo kupinga mpangilio wa viti vya bunge kwakutohusishwa baadhi ya makabila makubwa ya nchini Libya.
Pia kiongozi huyo amepinga vikali uchaguzi huo kwa sababu ya kushirikishwa baadhi ya vikundi vya kisiasa na vyengine kuto shirikishwa, kitu ambacho kinaweza kusababisha machafuko makali ya kikabila nchini humo