Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kofi Annan awasili nchini Syria kujadili mpango wa amani
Namba: 327960 Tarehe: 2012/07/09 - 20:11Rejea: ABNA.irprint

Kofi Annan awasili nchini Syria kujadili mpango wa amani

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Nchi za Kiarabu Bw Kofi Annan amewasili Damascus, Syria kujadili mpango wa amani na rais Bashar al-Assad. Habari zimesema, ziara hiyo ya Bw Annan ni ya muda mfupi, ambayo haitafikia saa 24. 

 Kofi Annan awasili nchini Syria kujadili mpango wa amani

Awali Annan aliliambia gazeti moja la Ufaransa kuwa, juhudi za jumuiya ya kimataifa za kukomesha hali ya vurugu nchini Syria iliyodumu kwa miezi 16 hazijafanyikiwa. Amesema tofauti kati ya nchi za kanda hiyo pamoja na zile kati ya nchi kubwa duniani zinafanya hali ya nchini Syria izidi kuwa mbaya. Ameshauri kwamba Iran inaweza kutoa mchango katika kutatua mgogoro wa Syria.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani