Uungaji mkono huu umedhihiri baaada ya tabibu mmoja kufutiwa hatia mahakamani baada ya kusababisha maumivu kwa mtoto aliye mtahiri, ambapo inadaiwa kuwa mtoto huyo alikutwa na matatizo ya kiafya kutokana kutahiliwa huko.
yafaa kuashiria kuwa kitendo cha kutahiri watoto wa kiume kinafaida nyingi sana licha ya kutekeleza na kuendeleza turathi na mafunzo ya manabii.
Hata hivyo kitendo cha kutailiwa kimekuwa kinaleta mvutano katika jamii nchi Ujerumani huku wengine wakipinga na wengine wakiunga mkono.