Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Utumiaji wa gesi ya sumu dhidi ya waandamanaji Bahrain yaongoza Duniani + Picha
Namba: 334140 Tarehe: 2012/08/03 - 22:11Rejea: abna.irprint

Muamko wa Kiislamu
Utumiaji wa gesi ya sumu dhidi ya waandamanaji Bahrain yaongoza Duniani + Picha

Gazeti la Marekani New York Times limeeleza kuwa katika miaka 100 ilopita Bahrain imeongoza kwa utumiaji wa gesi ya sumu dhidi ya waandamanaji na kuonyesha kuwa Nchi ya Bahrain yachupa mipaka ya Umoja wa Kimataifa.

 

 Utumiaji wa gesi ya sumu dhidi ya waandamanaji Bahrain yaongoza Duniani + Picha

Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- New York Times imeripoti kuwa utawala wa Bahrain umevuka mipka ya Kimataifa kwa kuzidi kutumia gesi ya sumu dhidi ya waandamanaji, ila watetezi wa haki za Binadamu wamekaa kimya kwa vitendo hivyo.

Gazeti hilo limeendelea kuripoti kuwa: Kundi la Madaktari Bahrain wameeleza kuwa; waathirika wa gesi ya sumu Nchi humo kila siku yaendelea kuzidi kwani kila siku utawala wa Bahrain wazidi kutumia mabomu  ya gesi za sumu dhidi ya Wananchi.

Kundi hilo la madaktari pia limearifu kuwa;  Mambo wanayofanyiwa  Wananchi wa Bahrain na utawala wa Nchi hiyo ni mambo ambayo yapo kunyume na haki za Binadamu na watetezi wa haki za lazima wasikalie kimya suala hili.  

 
:
-






Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani