wanafunzi hao wa kiislam leo wamewatembelea kituo hicho wakiadhimisha na kutukuza mwezi mtukufu wa ramadhani ambapo waliwafaariji na kuwapatia zawadi watoto hao.
jumuiaya ya TAMSA imekuwa ikihamasisha na kushajiisha wanafunzi wa shule mbalimbali kujitolea kusaidia wahitaji kwa hali na mali.
jumuiya hii inayosimamiwa na Ustadh: Rusheke imekuwa ikihamasisha kusoma kwa bidii kutembelea wagonjwa na kusaidia mayatima na masikini.