| Namba: 336204 | Tarehe: 2012/08/12 - 03:46 | Rejea: | print |
afrika Mursiy: Wadhifa wetu kitaifa ni kulipa kisasi cha damu za mashahidi wetu |
Muhammad Mursiy amesisitiza udharura wa kulipiza kwa kitendo hicho walichofanyiwa wanajeshi wake walokuwa wakilinda mipaka ya nchi hiyo katika jangwa la Sinaa, hii ni safari yakwa ya pili Rais huyo mkoani humo abayo imetokea baada ya mauaji ya wanajeshi walinzi wa mipaka ya Rafah, katika safari yake ya kwanza mkoani humo, Rais huyo alizungumza na wanajeshi tu kitu ambacho kilipelekea kwa wananchi wa mkoa huo kuto ridhishwa na kitendo hicho, ama baada ya vyanzu vya ulinzi kutangza ujio wa Rais hiyo wananchi wametega masikio kujua ratiba za kiongozi wao huyo lakini mpaka sasa hazija fahamika ratiba zake ama kilichoonekana ni silaha za kivita vya kuongeza nguvu ya kijeshi katika mipaka hiyo ambavyo ni vifaru 50 na wanajeshi miamoja.