Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kuhami wazi wazi Mfalme wa Qatar kundi la Kiwahabi
Namba: 289887 Tarehe: 1390/00/00Rejea: ABNAprint

Mawahabi ni hatari kwa Jamii
Kuhami wazi wazi Mfalme wa Qatar kundi la Kiwahabi

Mfalme wa Qatar alidai kuwa Ulimwengu wa kiislamu unahitaji Fikra na mwenendo wa kiwahabi. 

 Kuhami wazi wazi Mfalme wa Qatar kundi la Kiwahabi

Ripoti ya Shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA-Sheikh Muhammd Ibn Khalifa Althani Mfalme wa Qatar katika maneno ya kuhami Mawahabi alisema:Ulimwengu wa Sasa wa Kiislamu unahitaji Fikra za Kiwahabi na kuhami hao ndio kuhami Dini ya kiislamu na kuto wahami ni sawa na kuacha Dini tukufu ya Kiislamu.

 

Alipo shiriki Katika sherehe ya ufunguzi wa Msikiti wa Watu 3000(Muhammad Ibn Wahab) alisema:Ufunguzi wa Msikiti huu na Kuitwa Muhammad Ibn Wahab ni ishara ya kuonyesha ni kiasi gani Mwanazuoni huyu(Muhammad Ibn Wahab) aliathiri kiasi gani katika Jamii na kuwa yeye ni Mzinduzi wa Dini ya Kiislamu baada ya Mtume(s.a.w.),pia tunashudia Maulamaa waliokuwa wengi bado wanaedeleza Fikra zake.

Akimalizia kusema: natumai sehemu hii Iwe sehemu ya Da`awa ya Mwentezi Mungu na kuendeleza Fikra za Muhammad Ibn Wahab.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani