Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mashindano ya Qur'an yakimataifa kufanyika nchini Sudan
Namba: 291474 Tarehe: 1390/00/00Rejea: ABNAprint

Mashindano ya Qur'an yakimataifa kufanyika nchini Sudan

Mashindano ya tatu ya kimataifa ya Qur'an hufanyika mji mkuu wa Sudan Khartum, nchi 30 kushiriki katika mashindano hayo ambapo Iran ni moja miungoni mwa nchi zilizoshiriki katika mashindano hayo 

 Mashindano ya Qur
Kufanyika mashindano ya tatu ya kimataifa nchini Sudan, kunatokana na juhudi za jumuia ya Qur'an karim nchini Sudan, mashindano hayo yameanza rasmi tarehe 16 mwezi huu yanayo tarajia kuisha juma pili ijayo.
 Katika mashindano hayo wamishriki watu zaidi ya 250 katika sekta ya kisomo na hifshi ya Qur'an tukufu waliochaguliwa kutoka katika nchi 30 za kiislamu. miungoni mwa nchi zilizo shiriki ni Iran, Sirya, Iraq, Tunis, Chadi, na …



 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani