Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Sababu ya matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Muawiyah na Abu Sufiani
Namba: 306207 Tarehe: 2012/04/03 - 18:21Rejea: abna.irprint

Fahamu Uwahabi
Sababu ya matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Muawiyah na Abu Sufiani

Mwazuoni mmoja wa Kisunni aliweka wazi kuwa matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu chanzo chake ni Muawiyah na Baba yake Abu Sufiani. 

 Sababu ya matatizo ya Ulimwengu  wa Kiislamu ni Muawiyah na Abu Sufiani
 Ripoti ya ABNA-Sheikh Ahmad Kabisiy Mufti wa Kisunni katika maongezi yake na Televisheni ya Dubai 1 alisema:Muawiyah na Baba yake Abu Sufiani ndio wasababishaji wa matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu.
Alikiashiria kwa kusema; kutetea Kundi la Kiwahabi shakhsia ya Muawiyah na kusahau nini alifanya enzi za Imam Ali Ibn Abi Talib kumlaani katika kila Swala ya Ijumaa.
Mufti huyu wa Kisunni alisisitiza kusema naapa kwa jina la Mungu kila aina ya matatizo yanayo tusibu chanzo chake ni hao watu wawili, kueleza kua hakuna tufauti baina ya Shia na Sunni.
Sheikh Ahmad Kabisiy katika kipindi cha Televisheni hiyo alijibu Swali la Mtazamaji wa kipindi hicho akiulizwa, kati ya Ali Ibn Abi Talib na Muawiyah afatwe nani?! Alisema: kuwa mfasi wa Ali Ibn Abi Talib na umuombe Mungu akufufue nae.
Baada ya kipindi hicho cha Televisheni Mawahabi wa Nchi ya Emirat waliandamana na kuomba kutolewa Sheikh Ahmad Al kabisiy.
Sheikh Ahmad kabisiy asili yake ni Muiraq anaeishi Nchi ya Emirat na ni Mufti wa Kisunni katika Mji wa Dubai.
 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani