Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mauaji ya kinyama kuendelea Bahrain
Namba: 306951 Tarehe: 2012/04/07 - 10:21Rejea: ABNA.irprint

Muamko wa Kiislamu
Mauaji ya kinyama kuendelea Bahrain

Utawala wa Kifalme bado waendelea na opresheni zake za kukandamiza Wananchi, kwa vitendo hivyo alifariki Mama mmoja kwa athari ya Gesi ya sumu inayotumiwa na Polisi wa Nchi hiyo. 

 Mauaji  ya kinyama kuendelea Bahrain

Ripoti ya ABNA- Kwa mara nyingine tena leo asubuhi aliuawa Mama mmoja wa Kibahrain, na habari zinaeleza kuwa athari ya kifo chake ni Gesi ya sumu inayotumiwa na Polisi wa Nchi hiyo wakishirikiana na Saudia Arabia.

Khadija Muhammad Ali A`ali Ab bas mwenye umri wa miaka 49 alifariki baada ya kuumwa miezi mitatu, na sababu ya kifo chake ilielezwa baada ya kukagua maiti yake na kuonekana sababu ya kifo chake ni athari ya Gesi ya sumu inayotumiwa na Polisi wa Nchi hiyo kushirikiana na Saudia Arabia.

Mama huyu katika miezi mitatu hiyo alitaabika na maradhi yasojulikana na kila tiba ilikuwa haina faida hatimae alikubali wito wa Mwenyezi Mungu na kufa kishujaa baada ya kuonyesha msimamo wake dhidi ya utawala wa Kifalme wa Bahrain unaosaidiwa na Saudia Arabia kukandamiza Wananchi.

Shahada ya Mama huyu iliongeza idadi ya Mashahidi wa Bahrain kufikia watu 83 wa muamko wa Kiislamu.
 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani