Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mamilioni ya wamisri waandamana katika viwanja vya Tahriri kuhami mapinduzi yao
Namba: 308688 Tarehe: 2012/04/14 - 21:25Rejea: print

MISRI
Mamilioni ya wamisri waandamana katika viwanja vya Tahriri kuhami mapinduzi yao

Sikuya ya ijumaa wanaharakati wa mapinduzi ya Misri walitoa wito kwa wananchi kuandamana kwa lengo la kuhami mapinduzi ya nchi yao na kupambana na mabaki ya utawala wa zamani wa Husni Mubaraka . 

 Mamilioni ya wamisri waandamana katika viwanja vya Tahriri kuhami mapinduzi yao

 Katika maandamano hayo kikundi cha
Ikhwanul Muslimina kimesema kuwa maandamano hayo ni wito kwa wananchi kupinga
waliokuwa katika utawala wa zamani kutoshiriki Serikalini na katika uchaguzi
ujao na masuala ya kisiasa nchini humo.


Waandamanaji nao wamesisitiza
kutokubali katu kufanya sulhu na walioshiriki kumwaga Damu za wananchi,
kuharibu mazingira ya kisiasa, kudhulumu mali za wananchi, kusadia madhalimu
katika kuharibu jamii ya kibinadamu.



Katika hali hiyo pia Bunge la Misri
nalo limepitisha mswada wa kutoruhusiwa kugombea urais waliokua na nyadhifa
katika Serikali ya zamani hasa waliokuwa na nyadhifa kama vile: Urais, Naibu
Rais, Waziri mkuu na…  



 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani