Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Uchaguzi wa Rais wa Ufaransa kuanza leo
Namba: 310290 Tarehe: 2012/04/22 - 10:15Rejea: print

Uchaguzi wa Rais wa Ufaransa kuanza leo

Jumapili katika duru la kwanza la uchaguzi wa rais ambao unaweza kushuhudia mwisho wa muhula wa uongozi wa rais wa nchi hiyo Nicolas Sarkozy. 

 Uchaguzi wa Rais wa Ufaransa  kuanza leo

Utabiri wa kiwango cha juu na kura ya nguvu ya upinzani umeyaacha matokeo yakiwa hayatabiriki lakini kura zote za maoni zinaelekeza kwa mpinzani wa rais Sarkozy wa chama cha soshalist Franswaa Hollande.Wakongwe hao wawili wa siasa wapo katika hatua za kukabiliana uso kwa uso katika duru la pili la uchaguzi May 6 uchaguzi ambao utaamua nani ataliongoza taifa hilo ambalo linatajwa kuwa taifa la tano lenye nguvu duniani katika miaka mitano ijayo.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani