Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mwenye kutenganisha Falsafa na dini anamtazamo finyu
Namba: 311821 Tarehe: 2012/04/29 - 12:47Rejea: ABNAprint

Iran
Mwenye kutenganisha Falsafa na dini anamtazamo finyu

Ayatollah Misbah:nimatazamo finyu ulioje kwa mtu atakayedai kuwa falsafa na dini hazina uhusiano 

 Mwenye kutenganisha Falsafa na dini anamtazamo finyu


Alim na mwanafalsafa mkubwa wa kiislam Ayatollah Misbah Yazd, aliyasema hayo
alipokuwa kwenye kongamano la uhusiano wa dini na Sayansi lililofanyika katika mji mtukufu wa Qom Iran.
 kongamano hilo lilihudhuriwa na madokta na wanazuoni mbalimbali wa Iran.
alimu huyo aliashiria kuwa falsafa na dini haziwezi kutengana kwani zote zinalenga na kuashiria sababu ya kuwepo ulimwengu huu.
 alibainisha kwa kusema:tunaposema elimu ya dini tunamaanisha mafunzo na taaluma zinazozungumziwa katika dini na tunaporejea katika maandiko ya dini tukufu ya kiislam tunakuta kunamasuala ya tafakuri,tabasuri na taamuli ambayo ndio msingi na muhimili wa elimu ya falsafa.
aliongeza kwa kusema:dini inamwongoza mtu na kumfikisha katika kilele cha utulivu 


 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani