Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Mgombea ubunge auawa Syria
Namba: 312547 Tarehe: 2012/05/02 - 16:01Rejea: ABNAprint

Mashariki yakati
Mgombea ubunge auawa Syria

ABNA inatuarifu kuwa: Makundi ya waasi wa serikali ya syria wakiwa na siraha wamemvamia mgombea ubunge wa syria na kumuwa 

 Mgombea ubunge auawa Syria

Abdulhamiid Hassan Altwah ambaye alikuwa ni mgombea wa umbunge wa jimbo la kusini mwa Syria,amevamiwa leo na kundi la waasi wenye silaha na kuuawa akiwa katika uwanja wa Basari.

yafaa kuashiria kuwa hapo kabla waasi hao walimteka mgombea mwingine wa ubunge na wanafanya juhudi zao zoote kuhakikisha wanaharibu uchaguziujao.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani