Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Kada wa Al-Qaida auwawa Pakistan
Namba: 320323 Tarehe: 2012/06/06 - 17:44Rejea: print

Pakistan
Kada wa Al-Qaida auwawa Pakistan

ABNA inatuarifu kuwa:Habari kutoka serikali ya Marekani zinathibitisha kuwa mmjo wa viongozi wajuu wa kundi la Alqaeda ameuwawa. 

 Kada wa Al-Qaida auwawa Pakistan
Habari zilisema "Abu Yahya al Libi aliuwawa katika shambulio la  ndege zisizo na Rubani zilizoshanbulia maaficho yake huko Pakistan.
Kifo cha Libi ni pigo kubwa kwa kundi hilo la Al Qaeda, kwani alikuwa ni mtu anaye panga mipingo ya kundi hilo." Ikulu ya Marekani ilisema."
yafaa kuashiria kuwa Marekani imekuwa ikiuwa raia wasio na hatia kwa madai ya kuwasaka wafuasi wa Al-Qaida
 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani