Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Tanzania yagundua malimbikizo ya gesi asilia
Namba: 323171 Tarehe: 2012/06/19 - 08:58Rejea: print

Maendeleo TZ
Tanzania yagundua malimbikizo ya gesi asilia

Tanzania imegundua malimbikizo ya gesi asilia yenye ujazo wa futi trilioni 20.97 katika maeneo ya ukanda wa pwani, ambayo yamekuwa yakitafutwa katika bahari kwa miaka mitatu sasa. 

 Tanzania yagundua malimbikizo ya gesi asilia

Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki iliyopita huko Dodoma na waziri wa nishati na madini wa Tanzania Sospiter Muhongo, aidha amesema mbali ya kiwango hicho pia kimegunduliwa kisima cha gesi kiitwacho Lavani. Ugunduzi huo umefanywa na kampuni ya Statoil and Exxon Mobil ya Norway kilomita 80 kutoka pwani ya mkoa wa Lindi. Waziri huyo pia amesema kwa miaka mitatu iliyopita shughuli za utafutaji wa gesi na mafuta zimekuwa zikifanyika ambapo juhudi zilikuwa zikielekezwa zaidi katika maeneo ya kina cha bahari ya Hindi.

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani