| Namba: 331184 | Tarehe: 2012/07/23 - 20:00 | Rejea: ABNA.ir | print |
Nini kinachotokea Israel?!! kujichoma moto Waisrael na kuanza maandamano nchini humo |
Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Televisheni ya Israel CANAL 10 imeripoti kuwa hali mbaya Nchi ya sababisha watu sasa kuamka na kufanya mambo ambayo hayakutarajiwa kufanyika kama jichoma moto mtu mmoja mwenye umri wa miaka 50 aliekuwa mlemavu wa miguu baada ya kupatwa na hasira alijichoma moto na 80% ya mwili wake iliungua vibaya hadi sasa yupo Hospitali maututi.
Pia jana baada kujichoma moto mtu huyo watu wa 4 pia walitaka kujichoma ila Polisi waliwahi kufika haraka kabla kujichoma.
Aidha leo mtu mwengine alijichoma baada ya kushikwa na hasira kama mtu jana kwa madai ya kuwa Serikali ya Israel haijali Wananchi wake kutokana hali iloikabili Nchi hiyo.
Kujichoma Salomon jana imesababisha wengi kuchukua hatua kama yake ili kufikia katika mahitaji yao kwani kadri wanavyoandamana Serikali ya Israel haijali nini wahitaji Wananchi.
Uliwengu wasubiri nini kitakachotokea Israel kwa dhuluma wanayowafanyia Wapalestina, fimbo ya Mwenyezi Mungu sasa yawakun`guta.