Hayati rais John Atta Mills 68 ambaye alichaguliwa kuwa rais wa
Ghana kwa kumshinda mpinzani wake Nana Akufo-Addo kwa kiasi kidogo cha
kura mwaka 2008.
Kufuatia kifo cha rais Attap-Mill, makamu wake wa urais John Dramani
Mahama ameapishwa kuwa rais wa Ghana kuanzia sasa mpaka hapo uchaguzi wa
rais mpya utakapo anza mwisho wa mwaka huu.