| Namba: 333133 | Tarehe: 2012/07/30 - 23:28 | Rejea: ABNA.ir | print |
Je! yanayosemwa kunako Syria ni kweli? Vyombo vya Kimagharibi kutumia Photoshop kudanganya watu kunako hali ya Syria |
Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Vyombo vya habari vya Ulaya kutumia Programu ya Photoshop kwa kutishia watu kuwa hali ya Syria ni mbaya ili kuonyesha watu kuwa Syria kunamapigano makali na kusambaza picha za uongo ili kuvutia watu.

Picha ya kwanza ya chini ilisambazwa na shirika la habari la EPA tarehe 26/July/2012, na baada ya siku moja picha hiyo hiyo baada ya kubadilishwa na Photoshop picha ya juu ilisambazwa na shirika la habari la KRONE tarehe 28/7/2012.
Usambazaji wa habari kama huu upo kinyume na kanuni za Kimataifa na kuonyesha kuwa hawapo makini katika utoaji habari.