Mwanzo    Nyumbani    Links   Kurasa ya kijani    Tafuta  



Tetemeko la Ardhi nchini Iran
Namba: 336317 Tarehe: 2012/08/12 - 17:16Rejea: abna.irprint

Tetemeko la Ardhi nchini Iran

Takribani zaidi ya watu 120 wamepoteza maisha na zaidi ya 1,500 wamejeruhiwa na matetemeko pacha ya ardhi ambayo yamepiga mkoa wa Tabriz kaskazini magharibi mwa Iran jana Jumamosi.

 

 Tetemeko la Ardhi nchini Iran

Khalil Saie, mkuu wa Kituo cha majanga ya asili cha Azerbaijan Mashariki amesema katika televisheni ya taifa kwamba idadi inaweza kuwa kubwa kutokana na nguvu ya matetemeko.

Matetemeko hayo pacha yaliyopiga kwa dakika 11 kila moja yalikuwa na ukubwa wa kipimo cha 6.2 na 6.0 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Tehran

 

 




Barua pepe:
Jina:
Ujumbe:
Enter security code
erfan
ABNA World Service
Englishالعربية
Françaisاردو
Españolفارسی
Русский中文
DeutschTürkçe
Azeri (cyr) Azeri (ltin)
Melayu Indonesia
বাংলা हिन्दी
Swahili Myanmar
BosanskiABP sites
  Habari za Zamani