| Namba: 336317 | Tarehe: 2012/08/12 - 17:16 | Rejea: abna.ir | print |
Tetemeko la Ardhi nchini Iran |
Khalil Saie, mkuu wa Kituo cha majanga ya asili cha Azerbaijan Mashariki amesema katika televisheni ya taifa kwamba idadi inaweza kuwa kubwa kutokana na nguvu ya matetemeko.
Matetemeko hayo pacha yaliyopiga kwa dakika 11 kila moja yalikuwa na ukubwa wa kipimo cha 6.2 na 6.0 kwa mujibu wa chuo kikuu cha Tehran