![]() |
Hii ndio ada ya Maulamaa Kiongozi muadhamu kumbusu Allamah Hasan Zadeh Amily+ Picha Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislam ya Iran mnamo siku ya Jumapili alimtembelea Allamah Ayatullah Hasan Zadeh Amily Hspitali ya Tehran, Baada ya matembezi hayo Ayatullah Sayyid Ali Khamenei alimuombea afya njema kwa Mwenyezi Mungu Mwanazuoni huyo.
|
![]() |
Afrika Kitisho cha kiongozi wa Book haram kuwa jawabu zito waliotengeza filam ya kumvunjia heshima Mtume Mkuu wa kikundi cha Book haram amesambaza video ikionyesha vitisho vyake kwa waliotengeneza filam ya kumvunjia heshima Mtume mtukufu, na kutangaza kuwa Serikali ya Nigeria haita fanya mazungumzo na kikundi hicho na wala haina lengo la kufanya hivyo
|
![]() |
Hatima ya mizozo ya Afrika ni nini?! Wanafunzi zaidi ya 20 wauliwa kwa kupigwa risasi Nigeria Kundi la watu lililokuwa limejihami kwa bastola nchini Nigeria limewaua zaidi ya wanafunzi 20 baada ya kuwapiga risasi katika Chuo kimoja cha mafunzo ya juu mjini Mubi katika jimbo la Adamawa.
|
![]() |
Mehmanparasat: Hakuna nafasi ya uhusiano kati ya Iran na Marekani Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran Ramin Mehman parasat amesema hakuna uwezekano wa kurudishwa kwa uhusiano kati ya Iran na Marekani na hadi sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa kuhusu suala hilo.
|
![]() |
nini kinacho jiri Syria Waziri wa mambo ya nje wa Cuba alaani nchi za magharibi kuwa dhidi ya Syria Waziri wa mambo ya nje wa Cuba Bw. Bruno Rodriguez jana alilaani nchi za magharibi kwa kutumia nguvu kusukuma mbele mabadiliko ya utalawa wa nchi nyingine, na kugombea maliasili na utawala wa sehemu yenye umuhimu wa kimkakati.
|
![]() |
Sky News: China na Urusi kuhami Iran kanako mgogoro wa Syria Televisheni ya Sky News imetoa ripoti yake kunako hotuba ya Rais wa Jamuhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mkutano wa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa kueleza kuwa maneno ya Iran ni ishara ya kuhami China na Urusi Iran kunako mgogoro wa Syria.
|
![]() |
Afrika Jitihada za mawakili wa Mubaraka za kumtoa Dikteta huyo jela Mawaki na wahami wa Mubarak kutokana na hali mpaya ya kiafya yake wanazidisha jitihada za kumuhamisha Mubarak katika hospitali ya wafungwa, kuamishiwa huspitali nyengine
|
![]() |
Shambulizi la bomu latokea kanisani nchini Kenya Mlipuko wa gruneti uliotokea leo katika kanisa la Polycap mjini Nairobi umesababisha kifo cha mtoto mmoja na wengine watatu kujeruhiwa.
|
![]() |
Walid al-Moualem: Marekani yaunga mkono Waasi Nchini Syria Serikali ya Syria imeeleza kuwa Marekani pamoja na washirika wake ndio waunga mkono ugaidi nchini humo kwa kuwahami na kuwafadhili wapiganaji wanaotaka kuuangusha utawala wa rais Bashar Al Assad.
|
![]() |
Uturuki na Qatar: Kuweni kitu kimoja tutakupeni silaha dhidi ya Vifaru na Ndege Katika kutokea baadhi ya hitilafu katika vikundi vya Waasi Syria Uturuki na Qatar wameviomba vikudi hivyo kuungana na kuwa pamoja, na hiyo ni sharti ya kusaidiwa Waasi hao silaha.
|
![]() |
Wanajeshi 2,000 wa Marekani wameuliwa Afghanistan tangu 2001 Idadi ya wanajeshi wa Marekani waliouawa nchini Afghanistan wakilinda amani na kupambana na kundi la Taliban chini ya majeshi ya kimataifa ya NATO kwa muda wa miaka 11 imefikia 2,000 .
|
![]() |
Waasi 235 wauawa nchini Syria Tovuti ya gazeti la al-Watan nchini Syria leo imetoa habari kuwa, jeshi la serikali ya Syria na waasi wamepambana jana huko Aleppo, mji wa kaskazini nchini humo, na waasi 235 wameuawa katika mapambano hayo.
|
![]() |
Afrika Kusamehewa mubaraka kutafahamika leo Mahakama kuu ya Misri ikiongozwa na Abdussalam Najari leo inachunguza maombi ya mawakili wa Mubaraka kunako kusamehewa kwake
|
![]() |
Afrika Nigeria Hija ya mwaka huu si ruhusa Katika masiku ya mwisho ya wiki iliopita vyombo vya habari vya nchi za kiarabu vimetangaza kuwa Saudi Arabia amewaziwia wanawake elfu moja wakinigeria walikuwa wamekusudia kuhiji mwaka huu
|
![]() |
Afrika Cairo: kukodisha Suez Canal kwa Qatar ni kichekesho Msemaji mkuu wa jamhuri ya Misri amesisitiza kuwa mazungumzo kuhusu kukodisha Kanał ya Sueski kwa Qatar ni kichekesho
|
![]() |
Matumizi ya kura ya veto yadhibitiwe New Zealand imetaka mataifa matano yenye ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yajidhibiti katika matumizi ya kura ya veto.Wito huo umetolewa siku ya Jumamosi na Waziri wa Mambo ya Nje wa New Zealand Murray McCully wakati akihutubia mkutano wa 67 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwenye makao makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani.
|
![]() |
Waislam tuamke kumtetea Mtume Muhammad(saw) Mawaziri wa Nchi za Kiarabu walaani filamu ya kumdhalilisha Mtume(saw) Mawaziri wa Mambo ya Kigeni wa Mataifa ya Kiislamu wametoa wito wa kuwekwa sheria dhidi ya uchochezi wa chuki za kidini, huku wakilaani filamu iliyotengenezwa Marekani inayoidhihaki dini ya Kiislamu.
|
![]() |
Majeshi ya Kenya kuvunja ngome kuu ya Al-Shabab. Kwa mujibu wa msemaji wa majeshi ya Kenya nchini Somalia, Kanali Cyrus Oguna amethibitisha majeshi yake kufanikiwa kutwaa sehemu kubwa ya mji wa Kismayo baada ya kufanyika operesheni maalumu kwa kushirikiana na majeshi ya AMISOM na yale ya Serikali ya nchi hiyo.
|
![]() |
Afrika Mursiy kamwe hatakutana na kiongozi yeyote wa kizayuni Mkuu wa kikundi cha Ikhwanul Muslimina nchini Misri amesisitiza kwamba Raisi wa nchi hiyo kamwe hatakutana na kiongozi yoyote wa kizayuni, hata kama Tel Aviv itataka kufanya muafaka baina ya pande mbili hizo
|
![]() |
Afrika Filam ya wadaa (ni jibu la Misri) kuhusu utakaso wa waislamu yatengenezwa Muigizaji mmoja nchini Misri ametangaza kutengeza filam ya wadaa inayomuhusu mtume Muhammad (s.a.w.w) ikiwa ni jawabu la filam ya kimarekani inayo mvunjia heshima mtukufu mtume
|
![]() |
Afrika Muhammad Mursiy nikama Rais ahmadi Najad katika kuashambulia Israeli Vyombo vya habari vyatangaza kuwa Rais wa Misri aishambulia Israeli kama alivoishambulia Rais (Amad Najadi) wa Iran
|
![]() |
Rais wa Iran, Ahmadinejad ayashutumu mataifa ya magharibi kuhusu vitisho kuivamia kijeshi nchi yake Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad ameendelea kuyashutumu mataifa ya magharibi kwa kuendelea kuitishia nchi yake kuivamia kijeshi iwapo itaendelea na mpango wake wa kurutubisha Nyuklia.
|
![]() |
Mashariki ya kati Hatutetereshwi na vitisho vya Israel Rais wa jamhuri ya kiislam ya Iran Dokta Mahamud Ahmad Nejad amesema: tumejiandaa kikamilifu kuilinda dola ya kiislam na wala hatutetereshwi na vitisho vya utawala dhalimu wa Israel
|
![]() |
Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kuanza Jiwe la msingi kwa ajili ya Ujenzi wa Daraja la Kigamboni lawekwa na ukikamilika ndiyo litakuwa daraja refu zaidi Afrika Mashariki
|
![]() |
Nini kinacho jiri Libya baada ya Ghadhafi?! Maandamano makali kuendelea Benghazi Walibya waliyochoshwa na ushawishi wa makundi ya wanamgambo mjini Benghazi walivamia kituo cha kundi la wanamgambo na brigedi ya waasi wa zamani na kusababisha mtifuano uliyosababisha vifo vya watu wasiyopungua wanne .
|